Posts

Showing posts from February, 2024

SABABU KUBWA (06) KWA NINI WAFANYABIASHARA 'WANAOJITAMBUA' WANATUMIA BUSINESS CARDS

Image
 Yes, unaweza kuonekana ni mtindo mgeni wa maisha lakini hii ni moja kati ya njia rahisi sana za kufanya marketing ya biashara au huduma yako. Matumizi ya business cards katika kutangaza biashara au huduma yako yana faida kadhaa kubwa sana.  Hapa chini ni faida chache tu! Mosi, business cards huonesha smartness kwenye ufanyaji wa biashara au utoaji wa huduma yako. Mtu yeyote yule anapokuomba mawasiliano yako ukampatia business cards; moja kwa moja anajua kwamba upo serious na unajua vyema unachokifanya. Pili, business cards hujenga uaminifu. Wateja wengi hukuamini wewe pamoja na huduma au biashara yako hasa mara baada ya kujiridhisha kwamba uko formal sana.  Tatu, huongeza ujasiri. Unapotumia business cards kuendesha huduma au biashara yako, hii inakuongezea ujasiri hata wewe mwenyewe hasa pale ambapo mtu anakuomba contacts unampatia business cards 😎 Nne, ni njia mojawapo ya kutangaza biashara au huduma unayofanya. Tuchukulie mfano umekutana na ndugu ambaye muda mrefu ha...

Je, Huyu ni Wewe?

Image
Je, unahitaji kudesign na kuprinti stickers? Je, unahitaji kudesign na kuprinti vitabu vya tickets? Je, unahitaji kudesign na kuprinti ID Cards? Je, unahitaji kuprinti t-shirts? Je, unahitaji kudesign na kuprinti vitabu vya risiti (receipt books)? Je, unahitaji kudesign na kuprinti flyers? Je, unahitaji kudesign na kuprinti business cards? Je, unahitaji kudesign na kuprinti vitabu vya malipo (payment vouchers)? Wala Usipate Shida... ... Msomi Huru Enterprises Co. LTD ndiyo jibu lako! Tunafanya designing za ubora wa hali ya juu pamoja na printing aina zote (zenye viwango vya TBS) Tunakukaribisha sana kufanya kazi na sisi na kwa hakika, HAUTAJUTA KUTUAMINI📌 Wasiliana nasi kwa simu namba: 0764 987 588 Barua pepe:  msomihurugroup@gmail.com Tupo Mzumbe - Morogoro Karibuni Sana!

HIZI HAPA SABABU 100+ KWA NINI UNATAKIWA UKUZE BRAND YAKO KWANZA NDIPOSA UONE MAFANIKIO YAKITIRIRIKA KAMA MAJI YA MTO YORDANI!

Image
  Watu wengi sana ambao ni wafanyabiashara na watoa huduma mbalimbali huwa wanajikuta wakiwa kwenye mkanganyiko mkubwa mkubwa sana wa kipi wanachotakiwa kufanya kati ya kukuza brand zao kwanza ama kuendelea kutoa huduma tu. Wengine hukaribia hata kiasi cha kukata tamaa hasa pale wanapokuwa hawaoni matokeo ya kile wanachokifanya. Ukweli ni kwamba, ni muhimu sana kukuza brand yako wakati unaendelea kutoa huduma ama kufanya biashara zako ili watu waweze kukuamini na kufanya kazi na wewe ama kununua kutoka kwako. Hii inasaidia kiasi kwamba unafika wakati ambapo wateja wakiwa na uhitaji mbalimbali lazima waje kununua kutoka kwako kwa sababu ya brand yako. Wakati mwingine kinachokusaidia kuuza au kupata wadau siyo aina ya bidhaa zako unazotoa, bali ni kwa sababu ya brand au jina lako linavyofahamika. Habari njema ni kwamba, hata wewe unayonafasi kubwa sana ya kupambania brand yako wakati unaendelea kufanya biashara yako. Brand itakutangaza na kukufanya uaminike.  Unaweza kuamua sasa...